Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 10:1-2

Methali 10:1-2 BHN

Hizi ni methali za Solomoni: Mtoto mwenye hekima ni furaha ya baba yake; lakini mtoto mpumbavu ni huzuni ya mama yake. Mali iliyopatikana kwa njia mbaya haifai, lakini uadilifu huokoa mtu kutoka kifoni.

Soma Methali 10