Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 13:1-2

Hesabu 13:1-2 BHN

Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Tuma watu waende wakaipeleleze nchi ya Kanaani ambayo ninawapa wana wa Israeli. Utatuma mtu mmoja kutoka katika kila kabila, na mtu huyo lazima awe kiongozi katika kabila lake.”

Soma Hesabu 13