Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 4:35-36

Marko 4:35-36 BHN

Jioni, siku hiyohiyo, Yesu aliwaambia wanafunzi wake, “Tuvuke ziwa, twende ngambo.” Basi, wakauacha ule umati wa watu, wakamchukua Yesu katika mashua alimokuwa. Vilevile mashua nyingine zilimfuata.

Video zinazohusiana