Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 4:35-36

Marko 4:35-36 SRUV

Siku hiyo kulipokuwa jioni, Yesu akawaambia, Na tuvuke mpaka ng'ambo. Wakauacha mkutano, wakamchukua vile vile alivyokuwa katika mashua. Na mashua zingine zilikuwako pamoja naye.

Soma Marko 4

Video zinazohusiana