Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 59:21

Isaya 59:21 BHN

Mwenyezi-Mungu asema: “Mimi nafanya nanyi agano hili: Roho yangu niliyowajazeni, maneno niliyoyaweka mdomoni mwenu, hayataondoka kwenu kamwe, wala kwa watoto na wajukuu zenu, tangu sasa na hata milele.”

Soma Isaya 59