Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 24:52-53

Mwanzo 24:52-53 BHN

Mtumishi wa Abrahamu aliposikia maneno hayo, alimsujudia Mwenyezi-Mungu. Kisha akatoa vito vya fedha na dhahabu na nguo, akampa Rebeka. Pia aliwapa ndugu na mama yake Rebeka mapambo ya thamani kubwa.

Soma Mwanzo 24