Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Timotheo 2:3-4

2 Timotheo 2:3-4 BHN

Shiriki katika mateso kama askari mwaminifu wa Kristo Yesu. Mwanajeshi vitani hujiepusha na shughuli za maisha ya kawaida, ili aweze kumpendeza mkuu wa jeshi.