Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 6:14-15

1 Timotheo 6:14-15 BHN

nakuamuru ushike maagizo yako na kuyatii kwa uaminifu mpaka siku ile atakapotokea Bwana wetu Yesu Kristo. Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana.