Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 5:12-13

1 Wakorintho 5:12-13 BHN

Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, nyinyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu nyinyi wenyewe? Mfukuzeni mbali nanyi huyo mwovu!