Mateo 6:3-4
Mateo 6:3-4 SRB37
Lakini wewe ukimgawia mtu, mkono wako wa kushoto usitambue, wa kuume unayoyafanya, huko kugawa kwako kuwe kumejificha! Ndipo, Baba yako anayeyaona hata yanayojificha atakapokulipa waziwazi.
Lakini wewe ukimgawia mtu, mkono wako wa kushoto usitambue, wa kuume unayoyafanya, huko kugawa kwako kuwe kumejificha! Ndipo, Baba yako anayeyaona hata yanayojificha atakapokulipa waziwazi.