Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mateo 6:24

Mateo 6:24 SRB37

*Hakuna mtu anayeweza kutumikia mabwana wawili. Kwani itakuwa hivi: atamchukia wa kwanza na kumpenda wa pili, au atashikamana naye wa kwanza na kumbeza wa pili. Hamwezi kuwatumikia wote wawili, Mungu na Mali za Nchini (Mamona).

Soma Mateo 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mateo 6:24