Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 13:24-25

Marko 13:24-25 SCLDC10

“Basi, siku hizo, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza na mwezi hautaangaza. Nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za mbingu zitatikiswa.

Soma Marko 13