Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mk 13:24-25

Mk 13:24-25 SUV

Lakini siku zile, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza, na mwezi hatautoa mwanga wake. na nyota za mbinguni zitakuwa zikianguka, na nguvu zilizo mbinguni zitatikisika.

Soma Mk 13