Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 2:6-8

Warumi 2:6-8 SRUV

atakayemlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake; wale ambao kwa subira katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoharibika, watapewa uzima wa milele; na wale wenye fitina, wasioitii kweli, bali wakubalio dhuluma, watapata hasira na ghadhabu

Soma Warumi 2

Video ya Warumi 2:6-8