Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 50:7-11

Zaburi 50:7-11 SRUV

Sikieni, enyi watu wangu, nami nitanena, Mimi nitakushuhudia, Israeli; Mimi ndimi niliye MUNGU, Mungu wako. Sitakukemea kwa ajili ya dhabihu zako, Na kafara zako ziko mbele zangu daima. Sitatwaa ng'ombe katika nyumba yako, Wala beberu katika mazizi yako. Maana kila mnyama-pori ni wangu, Na mifugo juu ya angani elfu. Nawajua ndege wote wa milima, Na wanyama wote wa mashamba ni wangu.

Soma Zaburi 50