Nimeita kwa moyo wangu wote; Ee BWANA, uitike; Nitazishika amri zako. Nimekuita Wewe, uniokoe, Nami nitazishika shuhuda zako. Naamka kabla ya mapambazuko na kukuomba msaada, Naweka tumaini langu katika maneno yako. Nakaa macho usiku kucha, Ili kuitafakari ahadi yako. Kwa fadhili zako uisikie sauti yangu, Ee BWANA, uniokoe. Wanakaribia wanaonifuatia kwa chuki, Wamekwenda mbali na sheria yako. Ee BWANA, Wewe U karibu, Na maagizo yako yote ni kweli. Tokea zamani nimejua kwa shuhuda zako, Ya kuwa umeziweka zikae milele.
Soma Zaburi 119
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 119:145-152
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video