Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 29:9-11

Mithali 29:9-11 SRUV

Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha. Wamwagao damu humchukia mtu mkamilifu; Bali wenye haki humtunza nafsi yake. Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.

Soma Mithali 29