Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 20:2-3

Mithali 20:2-3 SRUV

Utisho wa mfalme ni kama ngurumo ya simba; Amkasirishaye huitendea dhambi nafsi yake. Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana.

Soma Mithali 20