Ili kuokoka na malaya, Naam, malaya mwenye kubembeleza kwa maneno yake; Amwachaye rafiki wa ujana wake, Na kulisahau agano la Mungu wake. Maana nyumba yake inaelekea mauti, Na mapito yake yanakwenda kwenye wafu. Katika hao wamwendeao harudi hata mmoja, Wala hawazifikilii njia za uzima.
Soma Mithali 2
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Mithali 2:16-19
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video