Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 13:5-6

Mithali 13:5-6 SRUV

Mwenye haki huchukia kusema uongo; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu. Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.

Soma Mithali 13