Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 10:3-4

Mithali 10:3-4 SRUV

BWANA hataiacha nafsi ya mwenye haki ife na njaa; Bali tamaa ya mtu mwovu huisukumia mbali. Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.

Soma Mithali 10