Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 4:37-39

Marko 4:37-39 SRUV

Ikatokea dhoruba kuu ya upepo, mawimbi yakaipiga mashua hata ikaanza kujaa maji. Naye mwenyewe alikuwapo katika shetri, amelala juu ya mto; wakamwamsha, wakamwambia, Mwalimu, si kitu kwako kuwa tunaangamia? Akaamka, akaukemea upepo, akaiambia bahari, Nyamaza, utulie. Upepo ukakoma, kukawa shwari kuu.

Soma Marko 4

Video zinazohusiana

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 4:37-39