Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 11:25

Mathayo 11:25 SRUV

Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.

Soma Mathayo 11