Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mambo ya Walawi 7:25-27

Mambo ya Walawi 7:25-27 SRUV

Kwani huyo mtu atakayekula mafuta ya mnyama, ambaye ni katika wanyama ambao watu husongeza sadaka kwa BWANA kwa moto, mtu huyo atakayekula mafuta hayo atakatiliwa mbali na watu wake. Tena msiile damu yoyote, ama ya ndege, ama ya mnyama, katika nyumba zenu zote. Mtu yeyote alaye damu, mtu huyo atatupiliwa mbali na watu wake.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mambo ya Walawi 7:25-27

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha