Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Law 7:25-27

Law 7:25-27 SUV

Kwani huyo mtu atakayekula mafuta ya mnyama, ambaye ni katika wanyama ambao watu husongeza sadaka kwa BWANA kwa moto, mtu huyo atakayekula mafuta hayo atakatiliwa mbali na watu wake. Tena msiile damu yo yote, ama ya ndege, ama ya mnyama, katika nyumba zenu zote. Mtu ye yote alaye damu, mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake.

Soma Law 7