Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 1:9-10

Yeremia 1:9-10 SRUV

Ndipo BWANA akaunyosha mkono wake, akanigusa kinywa changu; BWANA akaniambia, Tazama, nimetia maneno yangu kinywani mwako; angalia, nimekuweka leo juu ya mataifa na juu ya falme, ili kung'oa, na kubomoa, na kuharibu, na kuangamiza; ili kujenga na kupanda.

Soma Yeremia 1