Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hosea 2:5

Hosea 2:5 SRUV

Maana mama yao amezini; yeye aliyewachukua mimba ametenda mambo ya aibu; maana alisema, Nitafuatana na wapenzi wangu, wanipao chakula changu na maji yangu, sufu yangu na kitani yangu, mafuta yangu na vileo vyangu.

Soma Hosea 2