Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hosea 2:5

Hosea 2:5 NENO

Mama yao amekosa uaminifu na amewachukua mimba katika aibu. Gomeri alisema, ‘Nitawaendea wapenzi wangu, ambao hunipa chakula changu na maji yangu, sufu yangu na kitani yangu, mafuta yangu na kinywaji changu.’