Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waraka kwa Waebrania 13:11-13

Waraka kwa Waebrania 13:11-13 SRUV

Maana wanyama wale ambao damu yao huletwa ndani ya patakatifu na kuhani mkuu kwa ajili ya dhambi, viwiliwili vyao huteketezwa nje ya kambi. Kwa ajili hii Yesu naye, ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa nje ya lango. Basi na tutoke tumwendee nje ya kambi, tukichukua shutuma yake.