Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 24:52-53

Mwanzo 24:52-53 SRUV

Ikawa mtumishi wa Abrahamu aliposikia maneno yao, akainama hata nchi mbele za BWANA. Kisha huyo mtumishi akatoa vyombo vya fedha, na vyombo vya dhahabu, na mavazi, akampa Rebeka; na vitu vya thamani akampa nduguye na mamaye pia.

Soma Mwanzo 24