Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 19:36-37

Matendo 19:36-37 SRUV

Basi kwa kuwa mambo haya hayawezi kukanushwa, imewapasa kutulia; msifanye neno la haraka haraka. Kwa maana mmewaleta watu hawa, wasioiba vitu vya hekalu wala kumtukana mungu mke wetu.

Soma Matendo 19

Video ya Matendo 19:36-37