Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wathesalonike 1:9-10

2 Wathesalonike 1:9-10 SRUV

watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele, kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa nguvu zake; yeye atakapokuja ili kutukuzwa katika watakatifu wake, na kustaajabiwa katika wote waliosadiki katika siku ile, (kwa sababu ushuhuda wetu ulisadikiwa kwenu).