Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 17:37

1 Samweli 17:37 SRUV

Daudi akasema, BWANA aliyeniokoa na makucha ya simba, na makucha ya dubu, ataniokoa na mkono wa Mfilisti huyu. Sauli akamwambia Daudi, Nenda, na BWANA atakuwa pamoja nawe.