Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Sef 1:6-7

Sef 1:6-7 SUV

na hao waliorudi nyuma, na kuacha kumfuata BWANA; na hao wasiomtafuta BWANA, wala kumwulizia. Nyamaza kimya mbele za Bwana MUNGU; Kwa maana siku ya BWANA i karibu; Kwa kuwa BWANA ameweka tayari dhabihu, Amewatakasa wageni wake.

Soma Sef 1