Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Rum 4:1-3

Rum 4:1-3 SUV

Basi, tusemeje juu ya Ibrahimu, baba yetu kwa jinsi ya mwili? Kwa maana ikiwa Ibrahimu alihesabiwa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia; lakini si mbele za Mungu. Maana maandiko yasemaje? Ibrahimu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki.

Soma Rum 4

Video ya Rum 4:1-3