Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Rum 3:19-20

Rum 3:19-20 SUV

Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu; kwa sababu hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria; kwa maana kutambua dhambi huja kwa njia ya sheria.

Soma Rum 3

Video ya Rum 3:19-20