Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 49:6-12

Zab 49:6-12 SUV

Wa hao wanaozitumainia mali zao, Na kujisifia wingi wa utajiri wao; Hakuna mtu awezaye kumkomboa ndugu yake, Wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake, (Maana fidia ya nafsi zao ina gharama, Wala hana budi kuiacha hata milele;) ili aishi sikuzote asilione kaburi. Naam, ataliona, hata wenye hekima hufa; Mpumbavu na mjinga hupotea pamoja, Na kuwaachia wengine mali zao. Makaburi ni nyumba zao hata milele, Maskani zao vizazi hata vizazi. Hao waliotaja mashamba yao Kwa majina yao wenyewe. Lakini mwanadamu hadumu katika heshima, Bali amefanana na wanyama wapoteao.

Soma Zab 49