Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 4:5-7

Zab 4:5-7 SUV

Toeni dhabihu za haki, Na kumtumaini BWANA. Wengi husema, Nani atakayetuonyesha mema? BWANA, utuinulie nuru ya uso wako. Umenitia furaha moyoni mwangu, Kupita yao wanapozidishiwa nafaka na divai.

Soma Zab 4