Zab 4:5-7
Zab 4:5-7 SUV
Toeni dhabihu za haki, Na kumtumaini BWANA. Wengi husema, Nani atakayetuonyesha mema? BWANA, utuinulie nuru ya uso wako. Umenitia furaha moyoni mwangu, Kupita yao wanapozidishiwa nafaka na divai.
Toeni dhabihu za haki, Na kumtumaini BWANA. Wengi husema, Nani atakayetuonyesha mema? BWANA, utuinulie nuru ya uso wako. Umenitia furaha moyoni mwangu, Kupita yao wanapozidishiwa nafaka na divai.