Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 37:3-7

Zab 37:3-7 SUV

Umtumaini BWANA ukatende mema, Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu. Nawe utajifurahisha kwa BWANA, Naye atakupa haja za moyo wako. Umkabidhi BWANA njia yako, Pia umtumaini, naye atafanya. Ataitokeza haki yako kama nuru, Na hukumu yako kama adhuhuri. Ukae kimya mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa saburi; Usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu afanyaye hila.

Soma Zab 37

Picha za Aya za Zab 37:3-7

Zab 37:3-7 - Umtumaini BWANA ukatende mema,
Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.
Nawe utajifurahisha kwa BWANA,
Naye atakupa haja za moyo wako.
Umkabidhi BWANA njia yako,
Pia umtumaini, naye atafanya.
Ataitokeza haki yako kama nuru,
Na hukumu yako kama adhuhuri.
Ukae kimya mbele za BWANA,
Nawe umngojee kwa saburi;
Usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake,
Wala mtu afanyaye hila.Zab 37:3-7 - Umtumaini BWANA ukatende mema,
Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.
Nawe utajifurahisha kwa BWANA,
Naye atakupa haja za moyo wako.
Umkabidhi BWANA njia yako,
Pia umtumaini, naye atafanya.
Ataitokeza haki yako kama nuru,
Na hukumu yako kama adhuhuri.
Ukae kimya mbele za BWANA,
Nawe umngojee kwa saburi;
Usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake,
Wala mtu afanyaye hila.Zab 37:3-7 - Umtumaini BWANA ukatende mema,
Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.
Nawe utajifurahisha kwa BWANA,
Naye atakupa haja za moyo wako.
Umkabidhi BWANA njia yako,
Pia umtumaini, naye atafanya.
Ataitokeza haki yako kama nuru,
Na hukumu yako kama adhuhuri.
Ukae kimya mbele za BWANA,
Nawe umngojee kwa saburi;
Usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake,
Wala mtu afanyaye hila.