Zab 116:3-5
Zab 116:3-5 SUV
Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata. Naliona taabu na huzuni; Nikaliitia jina la BWANA. Ee BWANA, nakuomba sana, Uniokoe nafsi yangu. BWANA ni mwenye neema na haki, Naam, Mungu wetu ni mwenye rehema.
Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata. Naliona taabu na huzuni; Nikaliitia jina la BWANA. Ee BWANA, nakuomba sana, Uniokoe nafsi yangu. BWANA ni mwenye neema na haki, Naam, Mungu wetu ni mwenye rehema.