Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 116:3-5

Zab 116:3-5 SUV

Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata. Naliona taabu na huzuni; Nikaliitia jina la BWANA. Ee BWANA, nakuomba sana, Uniokoe nafsi yangu. BWANA ni mwenye neema na haki, Naam, Mungu wetu ni mwenye rehema.

Soma Zab 116