Zab 11:3-4
Zab 11:3-4 SUV
Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini? BWANA yu katika hekalu lake takatifu. BWANA ambaye kiti chake kiko mbinguni, Macho yake yanaangalia; Kope zake zinawajaribu wanadamu.
Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini? BWANA yu katika hekalu lake takatifu. BWANA ambaye kiti chake kiko mbinguni, Macho yake yanaangalia; Kope zake zinawajaribu wanadamu.