Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mt 12:34-35

Mt 12:34-35 SUV

Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake. Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema; na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya.

Soma Mt 12