Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Lk 3:23-38

Lk 3:23-38 SUV

Na Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa amepata umri wake kama miaka thelathini, akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu, wa Eli, wa Mathati, wa Lawi, wa Melki, wa Yana, wa Yusufu, wa Matathia, wa Amosi, wa Nahumu, wa Esli, wa Nagai, wa Maathi, wa Matathia, wa Semei, wa Yusufu, wa Yuda, wa Yoana, wa Resa, wa Zerubabeli, wa Shealtieli, wa Neri, wa Melki, wa Adi, wa Kosamu, wa Elmadamu, wa Eri, wa Yoshua, wa Eliezeri, wa Yorimu, wa Mathati, wa Lawi, wa Simeoni, wa Yuda, wa Yusufu, wa Yonamu, wa Eliakimu, wa Melea, wa Mena, wa Matatha, wa Nathani, wa Daudi, wa Yese, wa Obedi, wa Boazi, wa Salmoni, wa Nashoni, wa Aminadabu, wa Aramu, wa Hesroni, wa Peresi, wa Yuda, wa Yakobo, wa Isaka, wa Ibrahimu, wa Tera, wa Nahori, wa Serugi, wa Ragau, wa Pelegi, wa Eberi, wa Sala, wa Kenani, wa Arfaksadi, wa Shemu, wa Nuhu, wa Lameki, wa Methusela, wa Henoko, wa Yaredi, wa Mahalaleli, wa Kenani, wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu.

Soma Lk 3