Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayu 23:10-12

Ayu 23:10-12 SUV

Lakini yeye aijua njia niendeayo; Akisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu. Mguu wangu umeshikamana sana na hatua zake; Njia yake nimeishika, wala sikukengeuka. Sikurudi nyuma kuiacha amri ya midomo yake; Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu

Soma Ayu 23