Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayu 13:15-18

Ayu 13:15-18 SUV

Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake. Hili nalo litakuwa ni wokovu wangu; Kwani asiyemcha Mungu hatakaribia mbele yake. Sikieni sana maneno yangu, Maelezo yangu na yaingie masikioni mwenu. Angalieni sasa, nimekwisha kulitengeneza neno langu, Najua ya kuwa ni mwenye haki mimi.

Soma Ayu 13