Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isa 25:7-9

Isa 25:7-9 SUV

Naye katika mlima huu atauharibu uso wa sitara iliyowekwa juu ya watu wote, na utaji ule uliotandwa juu ya mataifa yote. Amemeza mauti hata milele; na Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana BWANA amenena hayo. Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.

Soma Isa 25

Picha za Aya za Isa 25:7-9

Isa 25:7-9 - Naye katika mlima huu atauharibu uso wa sitara iliyowekwa juu ya watu wote, na utaji ule uliotandwa juu ya mataifa yote. Amemeza mauti hata milele; na Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana BWANA amenena hayo.
Katika siku hiyo watasema,
Tazama, huyu ndiye Mungu wetu,
Ndiye tuliyemngoja atusaidie;
Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja,
Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.Isa 25:7-9 - Naye katika mlima huu atauharibu uso wa sitara iliyowekwa juu ya watu wote, na utaji ule uliotandwa juu ya mataifa yote. Amemeza mauti hata milele; na Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana BWANA amenena hayo.
Katika siku hiyo watasema,
Tazama, huyu ndiye Mungu wetu,
Ndiye tuliyemngoja atusaidie;
Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja,
Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.