Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwa 43:13-14

Mwa 43:13-14 SUV

Mtwaeni na ndugu yenu, mwondoke na kurudi kwa mtu yule. Mungu Mwenyezi na awape rehema usoni pa mtu yule ili awafungulie ndugu yenu huyo mwingine, na Benyamini. Nami nikifiwa na watoto wangu, nimefiwa.

Soma Mwa 43