Mwa 43:13-14
Mwa 43:13-14 SUV
Mtwaeni na ndugu yenu, mwondoke na kurudi kwa mtu yule. Mungu Mwenyezi na awape rehema usoni pa mtu yule ili awafungulie ndugu yenu huyo mwingine, na Benyamini. Nami nikifiwa na watoto wangu, nimefiwa.
Mtwaeni na ndugu yenu, mwondoke na kurudi kwa mtu yule. Mungu Mwenyezi na awape rehema usoni pa mtu yule ili awafungulie ndugu yenu huyo mwingine, na Benyamini. Nami nikifiwa na watoto wangu, nimefiwa.