Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwa 37:10-11

Mwa 37:10-11 SUV

Akawaambia baba yake na ndugu zake; baba yake akamkemea akamwambia, Ni ndoto gani hii uliyoiota? Je! Mimi na mama yako na ndugu zako tutakuja tukusujudie hata nchi? Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.

Soma Mwa 37