Mhu 4:4-6
Mhu 4:4-6 SUV
Tena nikafikiri amali zote, na kila kazi ya ustadi, ya kwamba inatoka katika mtu kupingana na mwenzake. Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo. Mpumbavu huikunja mikono yake, Naye hula chakula chake mwenyewe; Heri konzi moja pamoja na utulivu, Kuliko konzi mbili pamoja na taabu; na kujilisha upepo.