Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Sam 22:21-25

2 Sam 22:21-25 SUV

BWANA alinitendea sawasawa na haki yangu; Sawasawa na usafi wa mikono yangu akanilipa. Maana nimezishika njia za BWANA, Wala sikumwasi Mungu wangu. Maana hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu; Na kwa habari za amri zake, sikuziacha. Nami nalikuwa mkamilifu kwake, Nikajilinda na uovu wangu. Basi BWANA amenilipa sawasawa na haki yangu; Sawasawa na usafi wa mikono yangu mbele zake.

Soma 2 Sam 22